Skip to main content Skip to footer

Benki ya Dunia yachunguza madai ya mauaji Ruaha

September 30, 2023
Source
Mwananchi
Benki ya Dunia (WB) inachunguza madai ya mauaji, ubakaji na kuhamishwa kwa wanavijiji wanaoishi maeneo yenye vivutio vya utalii yanayofadhiliwa na benki hiyo nchini, Mwananchi limebaini.